• Login
    View Item 
    •   CDR Home
    • Mission and Ministry
    • An Online Retreat
    • View Item
    •   CDR Home
    • Mission and Ministry
    • An Online Retreat
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Week 16 Guide: Juma 16

    Thumbnail
    View/Open
    Juma16.html (40.38Kb)
    doll16.jpg (33.68Kb)
    Author
    Alexander, Andy, S.J.
    Waldron, Maureen McCann
    Date
    2000-01-01


    Metadata
    Show full item record
    Browse: Previous Reflection * Next Reflection

    Retreat Guide: Opening Text and Content

    To see the original html pages, PDFs and audio files, click the file links on the left.

    JUMA LA KUMI NA SITA

    Maisha Nje ya Hadhara kwa Miaka Thelathini

    Mwongozo: Mwana wa Seremala

    Mojawapo ya ukweli wa kushangaza sana kumhusu Yesu Kristu ni kuwa tunajua kidogo sana kuhusu maisha yake katika miaka thelathini ya mwanzo wa maisha yake. Tunajua alipoanza kazi yake hadharani, wali walimjua yeye na ndugu zake walishangazwa sana. Kwa dharau wengine walitoa mashambulio yao dhidi yake wakisemezana: “huyu siye yule mwana wa seremala?”

    Juma hili la mafungo linatupa muda wa kumjua Yesu anayekua katika ubinadamu wake (anayeongezeka umri). Kwa kuwa kuna Maandiko machache sana ya kurejea kuhusu maisha yake kati ya kuzaliwa kwake na kubatizwa kwake, tutatumia ubunifu wetu kujazia sehemu zile ambazo hatuambiwi mengi na maandiko—ila tunajua kweli mbalimbali za historia ya wakati huo, kazi ya baba yake, imani na tamaduni za watu wake, n.k. Zaidi, kama tukiifikiria hali ya utu-uzima ambayo Yesu alifikia, tunaweza pia kutafakari jinsi utoto wake ulivyokuwa, alikuwa mtoto wa namna gani, mambo gani alipambana nayo katika maisha na fikara, ni maamuzi gani hasa alifanya, n.k. Kwa kutumia kile tunachojua kuhusu maendeleo ya watoto hadi kufikia ujana, halafu kufikia utu uzima, tunaweza kufanya ubunifu mzuri kuhusu mambo kadhaa ya kibinadamu ambayo sharti Yesu aliyakabili. Tukisali namna hii tuingie katika zoezi la kumjua kwa undani zaidi, ili kwamba tuweze kumpenda zaidi na kufikia shauku yetu ya ndani kabisa ya kuwa naye katika utume wake aliopewa na Mungu Baba.

    Maandiko Matakatifu

    Luka 2:22-38

    Luka 2:39-40

    Luka 2:41-52

    Waebrania 1:1-2
    Persistant link to this record
    http://hdl.handle.net/10504/116879

    DSpace software copyright © 2002-2015  DuraSpace
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    @mire NV
     

     

    Browse

    All of the CDRCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Statistics

    Most Popular ItemsStatistics by CountryMost Popular Authors

    DSpace software copyright © 2002-2015  DuraSpace
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    @mire NV