Week 18 Guide: Juma 18
Browse: Previous Reflection *
Retreat Guide: Opening Text and Content
To see the original html pages, PDFs and audio files, click the file links on the left.JUMA LA KUMI NA NANENamna Tatu za MiitikioMwongozo: MotishaKabla ya kurudi kwenye maisha ya Yesu, tuchukue wiki moja kuweka msingi wa tafakari zitakazofuata. Tunajua tutavutiwa ndani zaidi katika uhusiano wetu na Yesu na kuwa hii itatuweka huru zaidi katika maamuzi na chaguzi tutakazokuwa tukifanya katika maisha yetu.Juma hili tukiendelea na shughuli na kazi zetu, tutakuwa ‘tukichambua moyoni’ simulizi ya kitafiti. Tutafanya hali ya kufikirika lakin iliyo katika mfumo wa hali halisi ya maisha, na tutaangalia njia tatu za kuitikia hali halisi inayojitokeza maishani.